Hili ni Jarida linalotumia lugha ya Kiswahili, na linachapisha katika nyuga zote za Kiswahili na utamaduni wa Mswahili. Hii ni pamoja na nyuga mahususi zifuatazo:
- Isimu ya
- Fasihi ya
- Historia na Maendeleo ya Kiswahili Pamoja na Fursa
- Utamaduni wa
- Mwingiliano wa Kiswahili na Lugha
Mwingiliano wa Kiswahili na Nyuga Nyingine Tofauti na Kiswahili (k.v Kiswahili na TEHAMA).