Hili ni Jarida linalotumia lugha ya Kiswahili, na linachapisha katika nyuga zote za Kiswahili na utamaduni wa Mswahili. Hii ni pamoja na nyuga mahususi zifuatazo:
- Isimu ya Kiswahili
- Fasihi ya Kiswahili
- Historia na Maendeleo ya Kiswahili Pamoja na fursa zake
- Utamaduni wa Waswahili
- Mwingiliano wa Kiswahili na Lugha
- Mwingiliano wa Kiswahili na Nyuga Nyingine Tofauti na Kiswahili (k.v Kiswahili na TEHAMA).