Mawanda ya Jarida

Hili ni Jarida linalotumia lugha ya Kiswahili, na linachapisha katika nyuga zote za Kiswahili na utamaduni wa Mswahili. Hii ni pamoja na nyuga mahususi zifuatazo:

  • Isimu ya
  • Fasihi ya
  • Historia na Maendeleo ya Kiswahili Pamoja na Fursa
  • Utamaduni wa
  • Mwingiliano wa Kiswahili na Lugha

Mwingiliano wa Kiswahili na Nyuga Nyingine Tofauti na Kiswahili (k.v Kiswahili na TEHAMA).